Timu ya soka ya taifa ya Tanzania imeshindwa kuwika nchini Misri na kukubali kipigo cha mabao 5-1.
Hadi mapumziko Taifa Stars ilikuwa imeishacharangwa 4-1 na ilipoingia kipindi cha pili iliongezwa goli jingine moja kufanya jumla ya magoli yaliyotinga kwenye nyavu za Tanzania kufikia matano
No comments:
Post a Comment