Thursday, November 5, 2009

Tanzania Yabamizwa 5-1 na Misri


Timu ya soka ya taifa ya Tanzania imeshindwa kuwika nchini Misri na kukubali kipigo cha mabao 5-1.

Hadi mapumziko Taifa Stars ilikuwa imeishacharangwa 4-1 na ilipoingia kipindi cha pili iliongezwa goli jingine moja kufanya jumla ya magoli yaliyotinga kwenye nyavu za Tanzania kufikia matano

No comments:

Post a Comment