Thursday, December 24, 2009

SALAAAM! ZA XMAS KUTOKA KOREA




wanafunzi watanzania waishio korea wanawatakia watanzania wote kwa ujumla xmas nje na mwaka mpya


Merry Christmas and a Prosperous New Year!

Dear Friend
I wish you a magical Festive Season filled with Loving Wishes and Beautiful Thoughts. May 2010 mark the beginning of a Tidal Wave of Love, Happiness and bright futures..

Merry Christmas and a Prosperous New Year!
God Bless You

MTANZANIA AUWAWA LONDON SHAURI YA FACEBOOK


Hii nimeisoma kutoka kwenye gazeti la The Sun naona vyema tufahamu ili na tuchukue tahadhari ya hali ya juu na matumizi ya hii mitandao jamii.
By ANTHONY FRANCE
Crime Reporter


A TEENAGER has been knifed to death - allegedly by his best mate - after a bust-up over a message on Facebook.
Salum Kombo, 18, was stabbed repeatedly and staggered 400 yards before collapsing in a pool of blood.

He was said to have been attacked by the 15-year-old who held a grudge because he had shown "disrespect" in the posting on the social networking site.

Grieving ... weeping
girls with flowers
Friends said the pair had been "really close".

Salum - who died in a street after the attack on Sunday - was said to have been threatened after commenting on another boy's profile the day before.

The jibe is believed to have related to the alleged murderer not being invited to a party.

A girl pal said: "Salum was killed just because he posted a stupid comment on another lad's wall on Facebook.

The boy had initially written something on his wall to which Salum responded. It just escalated from there."

Salum arrived in the UK from Tanzania around seven years ago.The news was broken to his parents there yesterday.

He was living with an aunt in Bow, East London, and had been an art student at nearby Tower Hamlets College.

Another pal alleged the killer had put his arm around Salum "then just stabbed him" yards from his aunt's flat.

Tribute ... Facebook
page for Salum
Salum had been singing Christmas carols with relatives shortly before he died, neighbours said.

One, who gave her name as Norma, said: "It's heartbreaking that this has happened so close to Christmas and it has affected the whole neighbourhood.

"His aunt is in a state of total shock and devastation."

Gary Byrne, 46, cradled Salum as "the life drained out of him" after he suffered a wound to the neck and chest.

He said: "We saw the kid lying on the ground with a crowd of young boys standing around him.

When I went over there was another guy trying to stem the flow of blood. The wound was either in his neck or chest.

"I was speaking to the ambulance while holding his head and trying to talk to him, trying to keep him awake. His eyes were flickering and I could see the life draining from the poor kid. There was so much blood, I have never seen anything like it in my life.

"When the ambulance pulled up he was still alive and they worked on him for about 20 minutes but he died on the pavement."

Emma Chaingwaro, 42, a nurse, said her son was a friend of the victim.

She added: "He was a nice, very respectful guy. Apparently it was all over a text message, something minor or trivial. My son is devastated."

It was the 13th teen murder in London this year.

A 15-year-old arrested over the attack is being quizzed at an East London police station.


Source: http://www.thesun.co.uk/sol/homepage/news/2781029/Facebook-insult-led-to-killing-in-the-street.html#ixzz0aP7d8QHr

IBADA YA KISWAHILI XMAS READING

MCHUNGAJI TUMAINI KALLAGHE NA BARAZA LA WAZEE
IBADA YA KISWAHILI READING
WANAWAKARIBISHA WATU WOTE KUADHIMISHA CHRISTMAS READING
WAPI: 188 OXFORD ROAD
ODD FELLOWS HALL
RG1 7NQ
READING
IBADA YA KISWAHILI

LINI: TAREHE 27 DECEMBER, 2009
SAA NGAPI: 8.30(2.30PM) MCHANA
They went with haste and found Mary
and Joseph, and the child lying in the manger.
Luke 2:16


WE WISH YOU ALL A MERRY XMAS AND HAPPY NEW YEAR

KWA MAELEZO ZAIDI: TEL: 07983087998
EMAIL: tukalaghe@yahoo.com

AJALI YA AMERICAN AIRLINE IN JAMAICA




Wadau, ndege ya American Airlines imepata ajali mara baada ya kutua huko Norman Manley International airport, Kingston, Jamaica. Kwa waliowahi kufika huko wanaelewa kuwa huo uwanja uko mwambao mwa bahari ya Caribbean. Habari zinasema kuwa ndege hiyo iliyokuwa na abiria 154 karibu iingie kwenye bahari! Ilisimama futi 10 (mita 3) kabla ya ufukwe! Ni miujiza hakuna aliyekufa ingawa watu 90 waliumia. Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia leo.


Habari zinasema kuwa ndege ilielekea kutua salama, abiria walikuwa wanapiga makofi, lakini wakati wa 'taxi' ndege haikusimama na badala yake ikaanza kuteleza, na kugonga vitu na zile oxygen masks zilishuka na zile overhead compartment za carryon baggage zilifunguka. Watu walikuwa wanapiga mayowe na kumwomba Mungu! Walisikia ndege inakatika vipande vipande.
Ndege hiyo aina ya 737, ilikuwa imetoka Washington, D.C.

Kwa habari zaidi someni:

http://www.thehindubusinessline.com/blnus/09231391.htm

MAANJUMATI YA KICHINA





jamani hii ni misosi ya uchina nani vp mdau nanihiii

Thursday, November 5, 2009

Buriani Mzee Alex Kusaga

Mwenyekiti Mtendaji wa Clouds Media Group,Bw Alex Kusaga(Pichani)ambaye ni baba mzazi wa Joseph Kusaga,amefariki jana jioni(Pretoria)nchini Afrika ya Kusini ambako alipelekwa kwa ajili ya matibabu ya ugonjwa wa kansa.
Taarifa Za Uhakika zinasema kwamba Msiba wa Mzee Alex Kusaga Upo Nyumbani kwake Mbezi-Beach karibu na Giraffe Hotel jijini Dar es SalaaamMwenyezi mungu Ailaze Roho ya Marehemu mahali Pema Peponi
Amen