Thursday, November 5, 2009

Buriani Mzee Alex Kusaga

Mwenyekiti Mtendaji wa Clouds Media Group,Bw Alex Kusaga(Pichani)ambaye ni baba mzazi wa Joseph Kusaga,amefariki jana jioni(Pretoria)nchini Afrika ya Kusini ambako alipelekwa kwa ajili ya matibabu ya ugonjwa wa kansa.
Taarifa Za Uhakika zinasema kwamba Msiba wa Mzee Alex Kusaga Upo Nyumbani kwake Mbezi-Beach karibu na Giraffe Hotel jijini Dar es SalaaamMwenyezi mungu Ailaze Roho ya Marehemu mahali Pema Peponi
Amen

No comments:

Post a Comment