Wednesday, November 4, 2009

ALOGWA KWA KUTEMBEA NA MKE WA MTU


Kumbe huko Zambia kuna dawa kali za kienyeji. Huyo jamaa alitembea na mke wa mtu huko Zambia. Kafumaniwa na mume wa mwanamke wake. Huyo mume kaenda kumfanyia dawa kali. Jamaa kafaa baada ya ume wake kuvimba kuwa saizi ya paja! Bofya picha kusoma habari kamili. (Picha kutoka Michuzi Blog)

No comments:

Post a Comment