
Kama kichwa cha habari kilivyo. WaTanzania tunaoishi huku Uk tumeingiza timu. Link ya maelezo kamili ya mashindano hayo ni
www.uanu.co.uk
Tunaomba jamaa wanaoishi nje ya london wawasiliane na mimi kwenye 07846147128
naitwa SWEET. Ama seif kwenye simu namba
07944397242
kabla ya ijumaa.
Muda hatuna maana aliye-egister timu alipata udhuru. Shukran na samahani kwa usumbufu na hapi basdei

No comments:
Post a Comment